Subscribe Us

Header Ads

Jinsi ya kutatua/kuepuka matatizo ya macho

 

Faham jinsi ya  kutatua/kuepuka matatizo ya macho kwakutumiaa matunda na mboga za majani kunasili kubwasana kwenyematunda na mbogatunazotumia kilasiku pasipo kufaham.

Machonikiungo muhimsana katikamwili wa binadam chukuahatua mapema.

jinsi macho yanavyo onekana

kiungo muhim ambacho ukikikosa unaweza usitimize malengoyako.

Njiabola za kutatua matatizo sugu ya macho

Njiahiipia itakuongezea  uwezo mzuliwa kufikili pamoja nakuupa mwili nguvu nitakufundisha hatuakwa hatua. Chakufanya andaa matunda yako yizuli yalio olozeshwa hapo chini, matundayanayo tibu macho kwa asilimia mia nimatunda yenye umbo kama jicho kwandani unaweza kutumia hatakabla ya kuugua ili kujikinga nakujiepusha namatatizo haya

 

v  Mahitaji

·         Kaloti

·         Nyanya

·         Papai/papaya

·         Mawese pendelea kutumia mafuta ya mawese.

 

1.      maandalizi

chukua chombokisafi kisha chukua kaloti mbili au mojakubwa kihaigawe katika vipande vidogovidogo piachukua nyanya nauigawe hivyohivyo  kisha changanya na  kaloti nimatundayenye ngalama ndogo sana  tengeneza vizuli kwakuzingatia usafi ilidawa ifanyekazi vizuli  kwenyemfumo wa kachumali ilaikiwezekana changanya na papai/papaya, ilakama unabrenda changanya vyote kisha usage.

 

matunda ya kuandaa

2.      matumizi/jinsi ya kutumia

utatumi matunda haya au juice hio asubuhi na jioni hapoutaondokana na matatizomengi ya macho kama macho kutoamachozi,macho kuwasha,kufikicha macho kila wakati na macho kua mekundu.

 

mfano wa juice
                                                    tengeneza juice kama hii usitengeneze laini kupita kiasi

v Muhim

Pendelea kutumia mbogambalimbali za majani ili kutokomeza kabisa tatizo au matatizo mengi ya macho piautaimalisha afyayako kwa kiasi kikubwa nakujikinga na megonjwa mengine nyemelezi.


mfano wa mboga za majani na matunda



muhim comment tiba yeyote asilia unayo faham hapochini ili kuwasaidia ndugu na jamaa wote wanao kuzunguka, duniani tunaishi kwa kusaidiana kwa mambomengi itakua vyema sana kwa kuacha comment yako ili kuwanufaisha wengine.

mungupia atakusaidia katika mamboyako pia utajifunza kupitia comment za wayu nazitakusaidia sana katika maisha yako comment yako nimuhinsana kwawengine.


Chapisha Maoni

1 Maoni